Kwa mujibu wa ripoti ya kitengo cha tarjama cha Shirika la Habari la Hawza, Zakariya al-Sinwar, ambaye alikuwa mhadhiri wa historia wa kisasa katika Chuo Kikuu cha Kiislamu, aliuliwa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat, iliyoko katikati mwa Ghaza.
Yeye alikuwa ndugu wa Yahya al-Sinwar, kamanda wa harakati ya Hamas aliyeuawa kishahidi.
Maoni yako